Abasa · 20/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
ثُمَّ السَّبِيلَ يَسَّرَهُ ۝٢٠
Thummas sabeela yas-sarah
📖 Kwa Kiswahili
Kisha akamsahilishia njia.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 18-22 — Abasa

18مِنْ أَيِّ شَيْءٍ خَلَقَهُ
Kwa kitu gani amemuumba?
19مِن نُّطْفَةٍ خَلَقَهُ فَقَدَّرَهُ
Kwa tone la manii, akamuumba na akamkadiria.
20ثُمَّ السَّبِيلَ يَسَّرَهُ
Kisha akamsahilishia njia.
21ثُمَّ أَمَاتَهُ فَأَقْبَرَهُ
Kisha akamfisha, akamtia kaburini.
22ثُمَّ إِذَا شَاءَ أَنشَرَهُ
Kisha apendapo atamfufua.
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
20Aya

Tafsiri — Abasa 20

Sura Abasa Aya 20 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha akamsahilishia njia.

Sura Aya 20/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 18–22. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema