Abasa · 19/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
مِن نُّطْفَةٍ خَلَقَهُ فَقَدَّرَهُ ۝١٩
Min nutfah; khalaqahu faqad-darah
📖 Kwa Kiswahili
Kwa tone la manii, akamuumba na akamkadiria.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 17-21 — Abasa

17قُتِلَ الْإِنسَانُ مَا أَكْفَرَهُ
Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha?
18مِنْ أَيِّ شَيْءٍ خَلَقَهُ
Kwa kitu gani amemuumba?
19مِن نُّطْفَةٍ خَلَقَهُ فَقَدَّرَهُ
Kwa tone la manii, akamuumba na akamkadiria.
20ثُمَّ السَّبِيلَ يَسَّرَهُ
Kisha akamsahilishia njia.
21ثُمَّ أَمَاتَهُ فَأَقْبَرَهُ
Kisha akamfisha, akamtia kaburini.
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Abasa 19

Sura Abasa Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa tone la manii, akamuumba na akamkadiria.

Sura Aya 19/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema