Abasa · 21/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
ثُمَّ أَمَاتَهُ فَأَقْبَرَهُ ۝٢١
Thumma amatahu fa-aqbarah
📖 Kwa Kiswahili
Kisha akamfisha, akamtia kaburini.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 19-23 — Abasa

19مِن نُّطْفَةٍ خَلَقَهُ فَقَدَّرَهُ
Kwa tone la manii, akamuumba na akamkadiria.
20ثُمَّ السَّبِيلَ يَسَّرَهُ
Kisha akamsahilishia njia.
21ثُمَّ أَمَاتَهُ فَأَقْبَرَهُ
Kisha akamfisha, akamtia kaburini.
22ثُمَّ إِذَا شَاءَ أَنشَرَهُ
Kisha apendapo atamfufua.
23كَلَّا لَمَّا يَقْضِ مَا أَمَرَهُ
La! Hajamaliza aliyo muamuru.
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
21Aya

Tafsiri — Abasa 21

Sura Abasa Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha akamfisha, akamtia kaburini.

Sura Aya 21/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema