Abasa · 24/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
فَلْيَنظُرِ الْإِنسَانُ إِلَىٰ طَعَامِهِ ۝٢٤
Falyanzuril insanu ilaa ta-amih
📖 Kwa Kiswahili
Hebu mtu na atazame chakula chake.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 22-26 — Abasa

22ثُمَّ إِذَا شَاءَ أَنشَرَهُ
Kisha apendapo atamfufua.
23كَلَّا لَمَّا يَقْضِ مَا أَمَرَهُ
La! Hajamaliza aliyo muamuru.
24فَلْيَنظُرِ الْإِنسَانُ إِلَىٰ طَعَامِهِ
Hebu mtu na atazame chakula chake.
25أَنَّا صَبَبْنَا الْمَاءَ صَبًّا
Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu,
26ثُمَّ شَقَقْنَا الْأَرْضَ شَقًّا
Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — Abasa 24

Sura Abasa Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hebu mtu na atazame chakula chake.

Sura Aya 24/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema