At-Takwir · 16/29
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Takwir
الْجَوَارِ الْكُنَّسِ ۝١٦
Al jawaaril kunnas
📖 Kwa Kiswahili
Zinazo kwenda, kisha zikajificha,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 14-18 — At-Takwir

14عَلِمَتْ نَفْسٌ مَّا أَحْضَرَتْ
Kila nafsi itajua ilicho kihudhurisha.
15فَلَا أُقْسِمُ بِالْخُنَّسِ
Naapa kwa nyota zinapo rejea nyuma,
16الْجَوَارِ الْكُنَّسِ
Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
17وَاللَّيْلِ إِذَا عَسْعَسَ
Na kwa usiku unapo pungua,
18وَالصُّبْحِ إِذَا تَنَفَّسَ
Na kwa asubuhi inapo pambazuka,
At-TakwirFaharasa ya Qurani
29Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — At-Takwir 16

Sura At-Takwir Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Zinazo kwenda, kisha zikajificha,

Sura Aya 16/29 — At-Takwir التكوير (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Takwir Sikiliza, At-Takwir Tafsiri, At-Takwir mp3, At-Takwir pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema