At-Takwir · 21/29
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Takwir
مُّطَاعٍ ثَمَّ أَمِينٍ ۝٢١
Mutaa`in samma ameen
📖 Kwa Kiswahili
Anaye t'iiwa, tena muaminifu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 19-23 — At-Takwir

19إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
20ذِي قُوَّةٍ عِندَ ذِي الْعَرْشِ مَكِينٍ
Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi,
21مُّطَاعٍ ثَمَّ أَمِينٍ
Anaye t'iiwa, tena muaminifu.
22وَمَا صَاحِبُكُم بِمَجْنُونٍ
Na wala huyu mwenzenu hana wazimu.
23وَلَقَدْ رَآهُ بِالْأُفُقِ الْمُبِينِ
Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.
At-TakwirFaharasa ya Qurani
29Aya
MakkaRevelation
21Aya

Tafsiri — At-Takwir 21

Sura At-Takwir Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Anaye t'iiwa, tena muaminifu.

Sura Aya 21/29 — At-Takwir التكوير (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Takwir Sikiliza, At-Takwir Tafsiri, At-Takwir mp3, At-Takwir pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema