Al-Mutaffifin · 11/36
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mutaffifin
الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ ۝١١
Allazeena yukazziboona bi yawmid deen
📖 Kwa Kiswahili
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 9-13 — Al-Mutaffifin

9كِتَابٌ مَّرْقُومٌ
Kitabu kilicho andikwa.
10وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
11الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
12وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
13إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
Al-MutaffifinFaharasa ya Qurani
36Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Al-Mutaffifin 11

Sura Al-Mutaffifin Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.

Sura Aya 11/36 — Al-Mutaffifin المطففين (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mutaffifin Sikiliza, Al-Mutaffifin Tafsiri, Al-Mutaffifin mp3, Al-Mutaffifin pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema