Al-Mutaffifin · 12/36
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mutaffifin
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ ۝١٢
Wa maa yukazzibu biheee illaa kullu mu`tadin aseem
📖 Kwa Kiswahili
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 10-14 — Al-Mutaffifin

10وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
11الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
12وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
13إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
14كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ
Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
Al-MutaffifinFaharasa ya Qurani
36Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Al-Mutaffifin 12

Sura Al-Mutaffifin Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.

Sura Aya 12/36 — Al-Mutaffifin المطففين (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mutaffifin Sikiliza, Al-Mutaffifin Tafsiri, Al-Mutaffifin mp3, Al-Mutaffifin pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema