Al-Mutaffifin · 29/36
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mutaffifin
إِنَّ الَّذِينَ أَجْرَمُوا كَانُوا مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا يَضْحَكُونَ ۝٢٩
Innal lazeena ajramoo kaanoo minal lazeena aamanoo yadhakoon
📖 Kwa Kiswahili
Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 27-31 — Al-Mutaffifin

27وَمِزَاجُهُ مِن تَسْنِيمٍ
Na mchanganyiko wake ni Tasniim,
28عَيْنًا يَشْرَبُ بِهَا الْمُقَرَّبُونَ
Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
29إِنَّ الَّذِينَ أَجْرَمُوا كَانُوا مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا يَضْحَكُونَ
Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
30وَإِذَا مَرُّوا بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ
Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
31وَإِذَا انقَلَبُوا إِلَىٰ أَهْلِهِمُ انقَلَبُوا فَكِهِينَ
Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
Al-MutaffifinFaharasa ya Qurani
36Aya
MakkaRevelation
29Aya

Tafsiri — Al-Mutaffifin 29

Sura Al-Mutaffifin Aya 29 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.

Sura Aya 29/36 — Al-Mutaffifin المطففين (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mutaffifin Sikiliza, Al-Mutaffifin Tafsiri, Al-Mutaffifin mp3, Al-Mutaffifin pdf. Aya 27–31. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema