Al-Mutaffifin · 30/36
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mutaffifin
وَإِذَا مَرُّوا بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ ۝٣٠
Wa izaa marroo bihim yataghaamazoon
📖 Kwa Kiswahili
Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 28-32 — Al-Mutaffifin

28عَيْنًا يَشْرَبُ بِهَا الْمُقَرَّبُونَ
Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.
29إِنَّ الَّذِينَ أَجْرَمُوا كَانُوا مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا يَضْحَكُونَ
Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
30وَإِذَا مَرُّوا بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ
Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
31وَإِذَا انقَلَبُوا إِلَىٰ أَهْلِهِمُ انقَلَبُوا فَكِهِينَ
Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.
32وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوا إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَضَالُّونَ
Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
Al-MutaffifinFaharasa ya Qurani
36Aya
MakkaRevelation
30Aya

Tafsiri — Al-Mutaffifin 30

Sura Al-Mutaffifin Aya 30 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.

Sura Aya 30/36 — Al-Mutaffifin المطففين (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mutaffifin Sikiliza, Al-Mutaffifin Tafsiri, Al-Mutaffifin mp3, Al-Mutaffifin pdf. Aya 28–32. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema