Al-Buruj · 8/22
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Buruj
وَمَا نَقَمُوا مِنْهُمْ إِلَّا أَن يُؤْمِنُوا بِاللَّهِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ ۝٨
Wa maa naqamoo minhum illaaa aiyu`minoo billaahil `azeezil Hameed
📖 Kwa Kiswahili
Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 6-10 — Al-Buruj

6إِذْ هُمْ عَلَيْهَا قُعُودٌ
Walipo kuwa wamekaa hapo,
7وَهُمْ عَلَىٰ مَا يَفْعَلُونَ بِالْمُؤْمِنِينَ شُهُودٌ
Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.
8وَمَا نَقَمُوا مِنْهُمْ إِلَّا أَن يُؤْمِنُوا بِاللَّهِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ
Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa,
9الَّذِي لَهُ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ وَاللَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ شَهِيدٌ
Ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi; na Mwenyezi Mungu ni shaahidi wa kila kitu.
10إِنَّ الَّذِينَ فَتَنُوا الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَتُوبُوا فَلَهُمْ عَذَابُ جَهَنَّمَ وَلَهُمْ عَذَابُ الْحَرِيقِ
Hakika walio wafitini Waumini wanaume na Waumini wanawake, kisha hawakutubu, basi watapata adhabu ya Jahannamu na watapata adhabu ya kuungua.
Al-BurujFaharasa ya Qurani
22Aya
MakkaRevelation
8Aya

Tafsiri — Al-Buruj 8

Sura Al-Buruj Aya 8 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu,…

Sura Aya 8/22 — Al-Buruj البروج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Buruj Sikiliza, Al-Buruj Tafsiri, Al-Buruj mp3, Al-Buruj pdf. Aya 6–10. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema