Al-Buruj · 7/22
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Buruj
وَهُمْ عَلَىٰ مَا يَفْعَلُونَ بِالْمُؤْمِنِينَ شُهُودٌ ۝٧
Wa hum `alaa maa yaf`aloona bilmu `mineena shuhood
📖 Kwa Kiswahili
Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 5-9 — Al-Buruj

5النَّارِ ذَاتِ الْوَقُودِ
Yenye moto wenye kuni nyingi,
6إِذْ هُمْ عَلَيْهَا قُعُودٌ
Walipo kuwa wamekaa hapo,
7وَهُمْ عَلَىٰ مَا يَفْعَلُونَ بِالْمُؤْمِنِينَ شُهُودٌ
Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.
8وَمَا نَقَمُوا مِنْهُمْ إِلَّا أَن يُؤْمِنُوا بِاللَّهِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ
Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa,
9الَّذِي لَهُ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ وَاللَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ شَهِيدٌ
Ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi; na Mwenyezi Mungu ni shaahidi wa kila kitu.
Al-BurujFaharasa ya Qurani
22Aya
MakkaRevelation
7Aya

Tafsiri — Al-Buruj 7

Sura Al-Buruj Aya 7 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.

Sura Aya 7/22 — Al-Buruj البروج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Buruj Sikiliza, Al-Buruj Tafsiri, Al-Buruj mp3, Al-Buruj pdf. Aya 5–9. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema