At-Tariq · 6/17
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Tariq
خُلِقَ مِن مَّاءٍ دَافِقٍ ۝٦
Khuliqa mim maaa`in daafiq
📖 Kwa Kiswahili
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 4-8 — At-Tariq

4إِن كُلُّ نَفْسٍ لَّمَّا عَلَيْهَا حَافِظٌ
Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.
5فَلْيَنظُرِ الْإِنسَانُ مِمَّ خُلِقَ
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
6خُلِقَ مِن مَّاءٍ دَافِقٍ
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,
7يَخْرُجُ مِن بَيْنِ الصُّلْبِ وَالتَّرَائِبِ
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
8إِنَّهُ عَلَىٰ رَجْعِهِ لَقَادِرٌ
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.
At-TariqFaharasa ya Qurani
17Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — At-Tariq 6

Sura At-Tariq Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,

Sura Aya 6/17 — At-Tariq الطارق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Tariq Sikiliza, At-Tariq Tafsiri, At-Tariq mp3, At-Tariq pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema