At-Tariq · 7/17
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Tariq
يَخْرُجُ مِن بَيْنِ الصُّلْبِ وَالتَّرَائِبِ ۝٧
Yakhruju mim bainissulbi wat taraaa`ib
📖 Kwa Kiswahili
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 5-9 — At-Tariq

5فَلْيَنظُرِ الْإِنسَانُ مِمَّ خُلِقَ
Hebu naajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?
6خُلِقَ مِن مَّاءٍ دَافِقٍ
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,
7يَخْرُجُ مِن بَيْنِ الصُّلْبِ وَالتَّرَائِبِ
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.
8إِنَّهُ عَلَىٰ رَجْعِهِ لَقَادِرٌ
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.
9يَوْمَ تُبْلَى السَّرَائِرُ
Siku zitakapo dhihirishwa siri.
At-TariqFaharasa ya Qurani
17Aya
MakkaRevelation
7Aya

Tafsiri — At-Tariq 7

Sura At-Tariq Aya 7 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

Sura Aya 7/17 — At-Tariq الطارق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Tariq Sikiliza, At-Tariq Tafsiri, At-Tariq mp3, At-Tariq pdf. Aya 5–9. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema