Al-Balad · 8/20
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Balad
أَلَمْ نَجْعَل لَّهُ عَيْنَيْنِ ۝٨
Alam naj`al lahoo `aynayn
📖 Kwa Kiswahili
Kwani hatukumpa macho mawili?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 6-10 — Al-Balad

6يَقُولُ أَهْلَكْتُ مَالًا لُّبَدًا
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
7أَيَحْسَبُ أَن لَّمْ يَرَهُ أَحَدٌ
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
8أَلَمْ نَجْعَل لَّهُ عَيْنَيْنِ
Kwani hatukumpa macho mawili?
9وَلِسَانًا وَشَفَتَيْنِ
Na ulimi, na midomo miwili?
10وَهَدَيْنَاهُ النَّجْدَيْنِ
Na tukambainishia zote njia mbili?
Al-BaladFaharasa ya Qurani
20Aya
MakkaRevelation
8Aya

Tafsiri — Al-Balad 8

Sura Al-Balad Aya 8 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani hatukumpa macho mawili?

Sura Aya 8/20 — Al-Balad البلد (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Balad Sikiliza, Al-Balad Tafsiri, Al-Balad mp3, Al-Balad pdf. Aya 6–10. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema