Al-Hijr · 46/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ ۝٤٦
Udkhuloohaa bisalaamin aamineen
📖 Kwa Kiswahili
(Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 44-48 — Al-Hijr

44لَهَا سَبْعَةُ أَبْوَابٍ لِّكُلِّ بَابٍ مِّنْهُمْ جُزْءٌ مَّقْسُومٌ
Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
45إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
46ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ
(Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.
47وَنَزَعْنَا مَا فِي صُدُورِهِم مِّنْ غِلٍّ إِخْوَانًا عَلَىٰ سُرُرٍ مُّتَقَابِلِينَ
Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.
48لَا يَمَسُّهُمْ فِيهَا نَصَبٌ وَمَا هُم مِّنْهَا بِمُخْرَجِينَ
Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
46Aya

Tafsiri — Al-Hijr 46

Sura Al-Hijr Aya 46 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : (Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.

Sura Aya 46/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 44–48. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema