Al-Hijr · 45/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ ۝٤٥
Innal muttaqeena fee Jannaatinw wa `uyoon
📖 Kwa Kiswahili
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 43-47 — Al-Hijr

43وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوْعِدُهُمْ أَجْمَعِينَ
Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
44لَهَا سَبْعَةُ أَبْوَابٍ لِّكُلِّ بَابٍ مِّنْهُمْ جُزْءٌ مَّقْسُومٌ
Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
45إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
46ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ
(Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.
47وَنَزَعْنَا مَا فِي صُدُورِهِم مِّنْ غِلٍّ إِخْوَانًا عَلَىٰ سُرُرٍ مُّتَقَابِلِينَ
Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
45Aya

Tafsiri — Al-Hijr 45

Sura Al-Hijr Aya 45 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.

Sura Aya 45/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 43–47. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema