Al-Hijr · 98/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
فَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ وَكُن مِّنَ السَّاجِدِينَ ۝٩٨
Fasbbih bihamdi Rabbika wa kum minas saajideen
📖 Kwa Kiswahili
Basi mtakase Mola wako Mlezi kwa kumhimidi, na uwe miongoni wanao msujudia.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 96-99 — Al-Hijr

96الَّذِينَ يَجْعَلُونَ مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ ۚ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ
Hao wanao fanya kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu yupo mungu mwingine. Basi, watakuja jua!
97وَلَقَدْ نَعْلَمُ أَنَّكَ يَضِيقُ صَدْرُكَ بِمَا يَقُولُونَ
Na Sisi tunajua kwa hakika kuwa wewe kifua chako kinaona dhiki kwa hayo wayasemayo.
98فَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ وَكُن مِّنَ السَّاجِدِينَ
Basi mtakase Mola wako Mlezi kwa kumhimidi, na uwe miongoni wanao msujudia.
99وَاعْبُدْ رَبَّكَ حَتَّىٰ يَأْتِيَكَ الْيَقِينُ
Na muabudu Mola wako Mlezi mpaka ikufikie Yakini.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
98Aya

Tafsiri — Al-Hijr 98

Sura Al-Hijr Aya 98 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi mtakase Mola wako Mlezi kwa kumhimidi, na uwe miongoni…

Sura Aya 98/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 96–99. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema