Al-Anbiya · 100/112
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Anbiya
لَهُمْ فِيهَا زَفِيرٌ وَهُمْ فِيهَا لَا يَسْمَعُونَ ۝١٠٠
Lahum feehaa zafeerunw wa hum feehaa laa yasma`oon
📖 Kwa Kiswahili
Lao wao humo ni kupiga mayowe, na wala hawatasikia (jenginelo).
🎧 Sikiliza

📜 Aya 98-102 — Al-Anbiya

98إِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّهِ حَصَبُ جَهَنَّمَ أَنتُمْ لَهَا وَارِدُونَ
Hakika nyinyi na hao mnao waabudu badala ya Mwenyezi Mungu ni kuni za Jahannamu; huko mtaingia tu.
99لَوْ كَانَ هَٰؤُلَاءِ آلِهَةً مَّا وَرَدُوهَا ۖ وَكُلٌّ فِيهَا خَالِدُونَ
Lau kuwa hawa ni miungu, wasingeli ingia. Na wote watadumu humo.
100لَهُمْ فِيهَا زَفِيرٌ وَهُمْ فِيهَا لَا يَسْمَعُونَ
Lao wao humo ni kupiga mayowe, na wala hawatasikia (jenginelo).
101إِنَّ الَّذِينَ سَبَقَتْ لَهُم مِّنَّا الْحُسْنَىٰ أُولَٰئِكَ عَنْهَا مُبْعَدُونَ
Ama wale ambao wema wetu umewatangulia, hao watatenganishwa na hayo.
102لَا يَسْمَعُونَ حَسِيسَهَا ۖ وَهُمْ فِي مَا اشْتَهَتْ أَنفُسُهُمْ خَالِدُونَ
Hawatausikia mvumo wake, na wao watadumu katika yale zinayo yatamani nafsi zao.
Al-AnbiyaFaharasa ya Qurani
112Aya
MakkaRevelation
100Aya

Tafsiri — Al-Anbiya 100

Sura Al-Anbiya Aya 100 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Lao wao humo ni kupiga mayowe, na wala hawatasikia (jenginelo).

Sura Aya 100/112 — Al-Anbiya الأنبياء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Anbiya Sikiliza, Al-Anbiya Tafsiri, Al-Anbiya mp3, Al-Anbiya pdf. Aya 98–102. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema