Al-Anbiya · 53/112
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Anbiya
قَالُوا وَجَدْنَا آبَاءَنَا لَهَا عَابِدِينَ ۝٥٣
Qaaloo wajadnaaa aabaaa`anaa lahaa `aabideen
📖 Kwa Kiswahili
Wakasema: Tumewakuta baba zetu wakiyaabudu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 51-55 — Al-Anbiya

51۞ وَلَقَدْ آتَيْنَا إِبْرَاهِيمَ رُشْدَهُ مِن قَبْلُ وَكُنَّا بِهِ عَالِمِينَ
Na hakika tulikwisha mpa Ibrahim uwongofu wake zamani, na tulikuwa tunamjua.
52إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَا هَٰذِهِ التَّمَاثِيلُ الَّتِي أَنتُمْ لَهَا عَاكِفُونَ
Alipo mwambia baba yake na watu wake: Ni nini haya masanamu mnayo yashughulikia kuyaabudu?
53قَالُوا وَجَدْنَا آبَاءَنَا لَهَا عَابِدِينَ
Wakasema: Tumewakuta baba zetu wakiyaabudu.
54قَالَ لَقَدْ كُنتُمْ أَنتُمْ وَآبَاؤُكُمْ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ
Akasema: Bila ya shaka nyinyi na baba zenu mmekuwa katika upotofu ulio dhaahiri.
55قَالُوا أَجِئْتَنَا بِالْحَقِّ أَمْ أَنتَ مِنَ اللَّاعِبِينَ
Wakasema: Je! Umetujia kwa maneno ya kweli au wewe ni katika wachezao tu?
Al-AnbiyaFaharasa ya Qurani
112Aya
MakkaRevelation
53Aya

Tafsiri — Al-Anbiya 53

Sura Al-Anbiya Aya 53 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakasema: Tumewakuta baba zetu wakiyaabudu.

Sura Aya 53/112 — Al-Anbiya الأنبياء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Anbiya Sikiliza, Al-Anbiya Tafsiri, Al-Anbiya mp3, Al-Anbiya pdf. Aya 51–55. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema