Al-Mu'minun · 68/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
أَفَلَمْ يَدَّبَّرُوا الْقَوْلَ أَمْ جَاءَهُم مَّا لَمْ يَأْتِ آبَاءَهُمُ الْأَوَّلِينَ ۝٦٨
Afalam yaddabbarrul qawla am jaaa`ahum maa lam yaati aabaaa`ahumul awwaleen
📖 Kwa Kiswahili
Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 66-70 — Al-Mu'minun

66قَدْ كَانَتْ آيَاتِي تُتْلَىٰ عَلَيْكُمْ فَكُنتُمْ عَلَىٰ أَعْقَابِكُمْ تَنكِصُونَ
Hakika zilikuwa Aya zangu mkisomewa, nanyi mkirudi nyuma juu ya visigino vyenu,
67مُسْتَكْبِرِينَ بِهِ سَامِرًا تَهْجُرُونَ
Na huku mkitakabari na usiku mkiizungumza (Qur'ani) kwa dharau.
68أَفَلَمْ يَدَّبَّرُوا الْقَوْلَ أَمْ جَاءَهُم مَّا لَمْ يَأْتِ آبَاءَهُمُ الْأَوَّلِينَ
Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
69أَمْ لَمْ يَعْرِفُوا رَسُولَهُمْ فَهُمْ لَهُ مُنكِرُونَ
Au hawakumjua Mtume wao, ndio maana wanamkataa?
70أَمْ يَقُولُونَ بِهِ جِنَّةٌ ۚ بَلْ جَاءَهُم بِالْحَقِّ وَأَكْثَرُهُمْ لِلْحَقِّ كَارِهُونَ
Au wanasema: Ana wazimu? Bali amewajia kwa Haki, na wengi wao wanaichukia Haki.
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
68Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 68

Sura Al-Mu'minun Aya 68 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa…

Sura Aya 68/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 66–70. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema