Ash-Shu'ara · 160/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍ الْمُرْسَلِينَ ۝١٦٠
kazzabat qawmu Lootinil mursaleen
📖 Kwa Kiswahili
Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 158-162 — Ash-Shu'ara

158فَأَخَذَهُمُ الْعَذَابُ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Basi ikawapata adhabu. Hakika katika hayo ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
159وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
160كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍ الْمُرْسَلِينَ
Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.
161إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ لُوطٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Alipo waambia ndugu yao, Lut'i: Je! Hamumchimngu?
162إِنِّي لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu kwenu.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
160Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 160

Sura Ash-Shu'ara Aya 160 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.

Sura Aya 160/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 158–162. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema