Ash-Shu'ara · 159/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ  ۝١٥٩
Wa inna Rabbaka la Huwal `Azeezur Raheem
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 157-161 — Ash-Shu'ara

157فَعَقَرُوهَا فَأَصۡبَحُواْ نَٰدِمِينَ 
Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.
158فَأَخَذَهُمُ ٱلۡعَذَابُۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةًۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ 
Basi ikawapata adhabu. Hakika katika hayo ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
159وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ 
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
160كَذَّبَتۡ قَوۡمُ لُوطٍ ٱلۡمُرۡسَلِينَ 
Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.
161إِذۡ قَالَ لَهُمۡ أَخُوهُمۡ لُوطٌ أَلَا تَتَّقُونَ 
Alipo waambia ndugu yao, Lut'i: Je! Hamumchimngu?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
159Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 159

Sura Aya 159/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 157–161. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema