Ash-Shu'ara · 38/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَجُمِعَ السَّحَرَةُ لِمِيقَاتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ ۝٣٨
Fa jumi`as saharatu limeeqaati Yawmim ma`loom
📖 Kwa Kiswahili
Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 36-40 — Ash-Shu'ara

36قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَابْعَثْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo.
37يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
38فَجُمِعَ السَّحَرَةُ لِمِيقَاتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.
39وَقِيلَ لِلنَّاسِ هَلْ أَنتُم مُّجْتَمِعُونَ
Na watu wakaambiwa: Je! Mtakusanyika?
40لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ السَّحَرَةَ إِن كَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ
Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
38Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 38

Sura Ash-Shu'ara Aya 38 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.

Sura Aya 38/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 36–40. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema