Ash-Shu'ara · 40/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ السَّحَرَةَ إِن كَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ ۝٤٠
La`allanaa nattabi`us saharata in kaanoo humul ghaalibeen
📖 Kwa Kiswahili
Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 38-42 — Ash-Shu'ara

38فَجُمِعَ السَّحَرَةُ لِمِيقَاتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.
39وَقِيلَ لِلنَّاسِ هَلْ أَنتُم مُّجْتَمِعُونَ
Na watu wakaambiwa: Je! Mtakusanyika?
40لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ السَّحَرَةَ إِن كَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ
Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.
41فَلَمَّا جَاءَ السَّحَرَةُ قَالُوا لِفِرْعَوْنَ أَئِنَّ لَنَا لَأَجْرًا إِن كُنَّا نَحْنُ الْغَالِبِينَ
Basi walipo kuja wachawi wakamwambia Firauni: Je! Tutapata ujira tukiwa sisi ndio tulio shinda?
42قَالَ نَعَمْ وَإِنَّكُمْ إِذًا لَّمِنَ الْمُقَرَّبِينَ
Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
40Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 40

Sura Ash-Shu'ara Aya 40 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.

Sura Aya 40/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 38–42. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema