As-Saffat · 137/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَإِنَّكُمْ لَتَمُرُّونَ عَلَيْهِم مُّصْبِحِينَ ۝١٣٧
Wa innakum latamurroona `alaihim musbiheen
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 135-139 — As-Saffat

135إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.
136ثُمَّ دَمَّرْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawaangamiza wale wengineo.
137وَإِنَّكُمْ لَتَمُرُّونَ عَلَيْهِم مُّصْبِحِينَ
Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,
138وَبِاللَّيْلِ ۗ أَفَلَا تَعْقِلُونَ
Na usiku. Basi je! Hamyatii akilini?
139وَإِنَّ يُونُسَ لَمِنَ الْمُرْسَلِينَ
Na hakika Yunus alikuwa miongoni mwa Mitume.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
137Aya

Tafsiri — As-Saffat 137

Sura As-Saffat Aya 137 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,

Sura Aya 137/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 135–139. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema