As-Saffat · 136/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
ثُمَّ دَمَّرْنَا الْآخَرِينَ ۝١٣٦
Summa dammarnal aakhareen
📖 Kwa Kiswahili
Kisha tukawaangamiza wale wengineo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 134-138 — As-Saffat

134إِذْ نَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Tulipo mwokoa yeye na ahali zake wote,
135إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.
136ثُمَّ دَمَّرْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawaangamiza wale wengineo.
137وَإِنَّكُمْ لَتَمُرُّونَ عَلَيْهِم مُّصْبِحِينَ
Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,
138وَبِاللَّيْلِ ۗ أَفَلَا تَعْقِلُونَ
Na usiku. Basi je! Hamyatii akilini?
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
136Aya

Tafsiri — As-Saffat 136

Sura As-Saffat Aya 136 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha tukawaangamiza wale wengineo.

Sura Aya 136/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 134–138. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema