As-Saffat · 166/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَإِنَّا لَنَحْنُ الْمُسَبِّحُونَ ۝١٦٦
Wa innaa lanah nul musabbihoon
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 164-168 — As-Saffat

164وَمَا مِنَّا إِلَّا لَهُ مَقَامٌ مَّعْلُومٌ
Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.
165وَإِنَّا لَنَحْنُ الصَّافُّونَ
Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.
166وَإِنَّا لَنَحْنُ الْمُسَبِّحُونَ
Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.
167وَإِن كَانُوا لَيَقُولُونَ
Na walikuwapo walio kuwa wakisema:
168لَوْ أَنَّ عِندَنَا ذِكْرًا مِّنَ الْأَوَّلِينَ
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
166Aya

Tafsiri — As-Saffat 166

Sura As-Saffat Aya 166 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.

Sura Aya 166/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 164–168. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema