As-Saffat · 167/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَإِن كَانُوا لَيَقُولُونَ ۝١٦٧
Wa in kaanoo la yaqooloon
📖 Kwa Kiswahili
Na walikuwapo walio kuwa wakisema:

🎧 Sikiliza


📜 Aya 165-169 — As-Saffat

165وَإِنَّا لَنَحْنُ الصَّافُّونَ
Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.
166وَإِنَّا لَنَحْنُ الْمُسَبِّحُونَ
Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.
167وَإِن كَانُوا لَيَقُولُونَ
Na walikuwapo walio kuwa wakisema:
168لَوْ أَنَّ عِندَنَا ذِكْرًا مِّنَ الْأَوَّلِينَ
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,
169لَكُنَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Mwenyezi Mungu wenye ikhlasi.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
167Aya

Tafsiri — As-Saffat 167

Sura As-Saffat Aya 167 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na walikuwapo walio kuwa wakisema:

Sura Aya 167/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 165–169. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema