As-Saffat · 64/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
إِنَّهَا شَجَرَةٌ تَخْرُجُ فِي أَصْلِ الْجَحِيمِ ۝٦٤
Innahaa shajaratun takhruju feee aslil Jaheem
📖 Kwa Kiswahili
Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 62-66 — As-Saffat

62أَذَٰلِكَ خَيْرٌ نُّزُلًا أَمْ شَجَرَةُ الزَّقُّومِ
Je! Kukaribishwa hivi si ndio bora, au mti wa Zaqqum?
63إِنَّا جَعَلْنَاهَا فِتْنَةً لِّلظَّالِمِينَ
Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.
64إِنَّهَا شَجَرَةٌ تَخْرُجُ فِي أَصْلِ الْجَحِيمِ
Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.
65طَلْعُهَا كَأَنَّهُ رُءُوسُ الشَّيَاطِينِ
Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.
66فَإِنَّهُمْ لَآكِلُونَ مِنْهَا فَمَالِئُونَ مِنْهَا الْبُطُونَ
Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
64Aya

Tafsiri — As-Saffat 64

Sura As-Saffat Aya 64 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.

Sura Aya 64/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 62–66. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema