As-Saffat · 82/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
ثُمَّ أَغْرَقْنَا الْآخَرِينَ ۝٨٢
Summa aghraqnal aakhareen
📖 Kwa Kiswahili
Kisha tukawazamisha wale wengine.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 80-84 — As-Saffat

80إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Kwa hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.
81إِنَّهُ مِنْ عِبَادِنَا الْمُؤْمِنِينَ
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
82ثُمَّ أَغْرَقْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawazamisha wale wengine.
83۞ وَإِنَّ مِن شِيعَتِهِ لَإِبْرَاهِيمَ
Na hakika Ibrahim alikuwa katika kundi lake,
84إِذْ جَاءَ رَبَّهُ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Alipo mjia Mola wake Mlezi kwa moyo mzima.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
82Aya

Tafsiri — As-Saffat 82

Sura As-Saffat Aya 82 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha tukawazamisha wale wengine.

Sura Aya 82/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 80–84. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema