Sad · 83/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ ۝٨٣
Illaa `ibaadaka minhumul mukhlaseen
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 81-85 — Sad

81إِلَىٰ يَوْمِ الْوَقْتِ الْمَعْلُومِ
Mpaka siku ya wakati maalumu.
82قَالَ فَبِعِزَّتِكَ لَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza wote,
83إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
84قَالَ فَالْحَقُّ وَالْحَقَّ أَقُولُ
Akasema: Haki! Na haki ninaisema.
85لَأَمْلَأَنَّ جَهَنَّمَ مِنكَ وَمِمَّن تَبِعَكَ مِنْهُمْ أَجْمَعِينَ
Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa wewe na kwa hao wote wenye kukufuata miongoni mwao.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
83Aya

Tafsiri — Sad 83

Sura Sad Aya 83 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.

Sura Aya 83/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 81–85. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema