Sad · 82/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
قَالَ فَبِعِزَّتِكَ لَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ ۝٨٢
Qaala fabi`izzatika la ughwiyannahum ajma`een
📖 Kwa Kiswahili
Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza wote,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 80-84 — Sad

80قَالَ فَإِنَّكَ مِنَ الْمُنظَرِينَ
Mwenyezi Mungu akasema: Basi umekwisha kuwa miongoni mwa walio pewa muhula,
81إِلَىٰ يَوْمِ الْوَقْتِ الْمَعْلُومِ
Mpaka siku ya wakati maalumu.
82قَالَ فَبِعِزَّتِكَ لَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza wote,
83إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
84قَالَ فَالْحَقُّ وَالْحَقَّ أَقُولُ
Akasema: Haki! Na haki ninaisema.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
82Aya

Tafsiri — Sad 82

Sura Sad Aya 82 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza…

Sura Aya 82/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 80–84. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema