Sad · 84/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
قَالَ فَالْحَقُّ وَالْحَقَّ أَقُولُ ۝٨٤
Qaala falhaqq, walhaqqa aqool
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Haki! Na haki ninaisema.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 82-86 — Sad

82قَالَ فَبِعِزَّتِكَ لَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza wote,
83إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
84قَالَ فَالْحَقُّ وَالْحَقَّ أَقُولُ
Akasema: Haki! Na haki ninaisema.
85لَأَمْلَأَنَّ جَهَنَّمَ مِنكَ وَمِمَّن تَبِعَكَ مِنْهُمْ أَجْمَعِينَ
Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa wewe na kwa hao wote wenye kukufuata miongoni mwao.
86قُلْ مَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ وَمَا أَنَا مِنَ الْمُتَكَلِّفِينَ
Sema (Ewe Mtume): Sikuombeni ujira juu ya haya, wala mimi si katika wadanganyifu.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
84Aya

Tafsiri — Sad 84

Sura Sad Aya 84 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Haki! Na haki ninaisema.

Sura Aya 84/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 82–86. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema