An-Najm · 48/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
وَأَنَّهُ هُوَ أَغْنَىٰ وَأَقْنَىٰ ۝٤٨
Wa annahoo huwa aghnaa wa aqnaa
📖 Kwa Kiswahili
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 46-50 — An-Najm

46مِن نُّطْفَةٍ إِذَا تُمْنَىٰ
Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.
47وَأَنَّ عَلَيْهِ النَّشْأَةَ الْأُخْرَىٰ
Na kwamba ni juu yake ufufuo mwengine.
48وَأَنَّهُ هُوَ أَغْنَىٰ وَأَقْنَىٰ
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
49وَأَنَّهُ هُوَ رَبُّ الشِّعْرَىٰ
Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
50وَأَنَّهُ أَهْلَكَ عَادًا الْأُولَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
48Aya

Tafsiri — An-Najm 48

Sura An-Najm Aya 48 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.

Sura Aya 48/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 46–50. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema