Al-Qamar · 10/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
فَدَعَا رَبَّهُ أَنِّي مَغْلُوبٌ فَانتَصِرْ ۝١٠
Fada`aa Rabbahooo annee maghloobun fantasir
📖 Kwa Kiswahili
Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 8-12 — Al-Qamar

8مُّهْطِعِينَ إِلَى الدَّاعِ ۖ يَقُولُ الْكَافِرُونَ هَٰذَا يَوْمٌ عَسِرٌ
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
9۞ كَذَّبَتْ قَبْلَهُمْ قَوْمُ نُوحٍ فَكَذَّبُوا عَبْدَنَا وَقَالُوا مَجْنُونٌ وَازْدُجِرَ
Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.
10فَدَعَا رَبَّهُ أَنِّي مَغْلُوبٌ فَانتَصِرْ
Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!
11فَفَتَحْنَا أَبْوَابَ السَّمَاءِ بِمَاءٍ مُّنْهَمِرٍ
Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.
12وَفَجَّرْنَا الْأَرْضَ عُيُونًا فَالْتَقَى الْمَاءُ عَلَىٰ أَمْرٍ قَدْ قُدِرَ
Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — Al-Qamar 10

Sura Al-Qamar Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa,…

Sura Aya 10/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema