Al-Qamar · 11/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
فَفَتَحْنَا أَبْوَابَ السَّمَاءِ بِمَاءٍ مُّنْهَمِرٍ ۝١١
Fafatahnaaa abwaabas sa maaa`i bimaa`im munhamir
📖 Kwa Kiswahili
Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 9-13 — Al-Qamar

9۞ كَذَّبَتْ قَبْلَهُمْ قَوْمُ نُوحٍ فَكَذَّبُوا عَبْدَنَا وَقَالُوا مَجْنُونٌ وَازْدُجِرَ
Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.
10فَدَعَا رَبَّهُ أَنِّي مَغْلُوبٌ فَانتَصِرْ
Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!
11فَفَتَحْنَا أَبْوَابَ السَّمَاءِ بِمَاءٍ مُّنْهَمِرٍ
Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.
12وَفَجَّرْنَا الْأَرْضَ عُيُونًا فَالْتَقَى الْمَاءُ عَلَىٰ أَمْرٍ قَدْ قُدِرَ
Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa.
13وَحَمَلْنَاهُ عَلَىٰ ذَاتِ أَلْوَاحٍ وَدُسُرٍ
Na tukamchukua kwenye safina ya mbao na kamba.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Al-Qamar 11

Sura Al-Qamar Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.

Sura Aya 11/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema