Al-Waqi'a · 17/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
يَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَانٌ مُّخَلَّدُونَ ۝١٧
Yatoofu `alaihim wildaa num mukkhalladoon
📖 Kwa Kiswahili
Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 15-19 — Al-Waqi'a

15عَلَىٰ سُرُرٍ مَّوْضُونَةٍ
Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
16مُّتَّكِئِينَ عَلَيْهَا مُتَقَابِلِينَ
Wakiviegemea wakielekeana.
17يَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَانٌ مُّخَلَّدُونَ
Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
18بِأَكْوَابٍ وَأَبَارِيقَ وَكَأْسٍ مِّن مَّعِينٍ
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.
19لَّا يُصَدَّعُونَ عَنْهَا وَلَا يُنزِفُونَ
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 17

Sura Al-Waqi'a Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,

Sura Aya 17/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema