Al-Waqi'a · 65/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
لَوْ نَشَاءُ لَجَعَلْنَاهُ حُطَامًا فَظَلْتُمْ تَفَكَّهُونَ ۝٦٥
Law nashaaa`u laja`al naahu hutaaman fazaltum tafakkahoon
📖 Kwa Kiswahili
Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 63-67 — Al-Waqi'a

63أَفَرَأَيْتُم مَّا تَحْرُثُونَ
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
64أَأَنتُمْ تَزْرَعُونَهُ أَمْ نَحْنُ الزَّارِعُونَ
Je! Ni nyinyi mnayo yaotesha au ni Sisi ndio wenye kuotesha?
65لَوْ نَشَاءُ لَجَعَلْنَاهُ حُطَامًا فَظَلْتُمْ تَفَكَّهُونَ
Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
66إِنَّا لَمُغْرَمُونَ
Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
67بَلْ نَحْنُ مَحْرُومُونَ
Bali sisi tumenyimwa.
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
65Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 65

Sura Al-Waqi'a Aya 65 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,

Sura Aya 65/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 63–67. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema