Al-Waqi'a · 64/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
أَأَنتُمْ تَزْرَعُونَهُ أَمْ نَحْنُ الزَّارِعُونَ ۝٦٤
A-antum tazra`oonahooo am nahnuz zaari`ooon
📖 Kwa Kiswahili
Je! Ni nyinyi mnayo yaotesha au ni Sisi ndio wenye kuotesha?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 62-66 — Al-Waqi'a

62وَلَقَدْ عَلِمْتُمُ النَّشْأَةَ الْأُولَىٰ فَلَوْلَا تَذَكَّرُونَ
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
63أَفَرَأَيْتُم مَّا تَحْرُثُونَ
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
64أَأَنتُمْ تَزْرَعُونَهُ أَمْ نَحْنُ الزَّارِعُونَ
Je! Ni nyinyi mnayo yaotesha au ni Sisi ndio wenye kuotesha?
65لَوْ نَشَاءُ لَجَعَلْنَاهُ حُطَامًا فَظَلْتُمْ تَفَكَّهُونَ
Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
66إِنَّا لَمُغْرَمُونَ
Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
64Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 64

Sura Al-Waqi'a Aya 64 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Ni nyinyi mnayo yaotesha au ni Sisi ndio wenye…

Sura Aya 64/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 62–66. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema