Al-Qalam · 10/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
وَلَا تُطِعْ كُلَّ حَلَّافٍ مَّهِينٍ ۝١٠
Wa laa tuti` kulla hallaa fim maheen
📖 Kwa Kiswahili
Wala usimt'ii kila mwingi wa kuapa wa kudharauliwa,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 8-12 — Al-Qalam

8فَلَا تُطِعِ الْمُكَذِّبِينَ
Basi usiwat'ii wanao kadhibisha.
9وَدُّوا لَوْ تُدْهِنُ فَيُدْهِنُونَ
Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
10وَلَا تُطِعْ كُلَّ حَلَّافٍ مَّهِينٍ
Wala usimt'ii kila mwingi wa kuapa wa kudharauliwa,
11هَمَّازٍ مَّشَّاءٍ بِنَمِيمٍ
Mtapitapi, apitaye akifitini,
12مَّنَّاعٍ لِّلْخَيْرِ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — Al-Qalam 10

Sura Al-Qalam Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala usimt'ii kila mwingi wa kuapa wa kudharauliwa,

Sura Aya 10/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema