Al-Haqqa · 24/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ ۝٢٤
Kuloo washraboo haneee`am bimaaa aslaftum fil ayyaamil khaliyah
📖 Kwa Kiswahili
Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 22-26 — Al-Haqqa

22فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ
Katika Bustani ya juu,
23قُطُوفُهَا دَانِيَةٌ
Matunda yake yakaribu.
24كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ
Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.
25وَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِشِمَالِهِ فَيَقُولُ يَا لَيْتَنِي لَمْ أُوتَ كِتَابِيَهْ
Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!
26وَلَمْ أَدْرِ مَا حِسَابِيَهْ
Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 24

Sura Al-Haqqa Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo…

Sura Aya 24/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema