Al-Haqqa · 25/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِشِمَالِهِ فَيَقُولُ يَا لَيْتَنِي لَمْ أُوتَ كِتَابِيَهْ ۝٢٥
Wa ammaa man ootiya kitaabahoo bishimaalihee fa yaqoolu yaalaitanee lam oota kitaaabiyah
📖 Kwa Kiswahili
Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 23-27 — Al-Haqqa

23قُطُوفُهَا دَانِيَةٌ
Matunda yake yakaribu.
24كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ
Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.
25وَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِشِمَالِهِ فَيَقُولُ يَا لَيْتَنِي لَمْ أُوتَ كِتَابِيَهْ
Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!
26وَلَمْ أَدْرِ مَا حِسَابِيَهْ
Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.
27يَا لَيْتَهَا كَانَتِ الْقَاضِيَةَ
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 25

Sura Al-Haqqa Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa…

Sura Aya 25/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema