Al-Haqqa · 5/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
فَأَمَّا ثَمُودُ فَأُهْلِكُوا بِالطَّاغِيَةِ ۝٥
Fa-ammaa Samoodu fauhlikoo bittaaghiyah
📖 Kwa Kiswahili
Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 3-7 — Al-Haqqa

3وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحَاقَّةُ
Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?
4كَذَّبَتْ ثَمُودُ وَعَادٌ بِالْقَارِعَةِ
Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.
5فَأَمَّا ثَمُودُ فَأُهْلِكُوا بِالطَّاغِيَةِ
Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
6وَأَمَّا عَادٌ فَأُهْلِكُوا بِرِيحٍ صَرْصَرٍ عَاتِيَةٍ
Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.
7سَخَّرَهَا عَلَيْهِمْ سَبْعَ لَيَالٍ وَثَمَانِيَةَ أَيَّامٍ حُسُومًا فَتَرَى الْقَوْمَ فِيهَا صَرْعَىٰ كَأَنَّهُمْ أَعْجَازُ نَخْلٍ خَاوِيَةٍ
Alio wapelekea masiku saba, na siku nane, mfululizo bila ya kusita. Utaona watu wamepinduka kama kwamba ni magongo ya mitende yalio wazi ndani.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
5Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 5

Sura Al-Haqqa Aya 5 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.

Sura Aya 5/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 3–7. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema