Al-A'raf · 110/206
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-A'raf
يُرِيدُ أَن يُخْرِجَكُم مِّنْ أَرْضِكُمْ ۖ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ ۝١١٠
Yureedu ai yukhrijakum min ardikum famaazaa taamuroon
📖 Kwa Kiswahili
Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 108-112 — Al-A'raf

108وَنَزَعَ يَدَهُ فَإِذَا هِيَ بَيْضَاءُ لِلنَّاظِرِينَ
Na akatoa mkono wake, mara ukawa mweupe kwa watazamao.
109قَالَ الْمَلَأُ مِن قَوْمِ فِرْعَوْنَ إِنَّ هَٰذَا لَسَاحِرٌ عَلِيمٌ
Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi.
110يُرِيدُ أَن يُخْرِجَكُم مِّنْ أَرْضِكُمْ ۖ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ
Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani?
111قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَأَرْسِلْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
112يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَاحِرٍ عَلِيمٍ
Wakuletee kila mchawi mjuzi.
Al-A'rafFaharasa ya Qurani
206Aya
MakkaRevelation
110Aya

Tafsiri — Al-A'raf 110

Sura Al-A'raf Aya 110 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani?

Sura Aya 110/206 — Al-A'raf الأعراف (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-A'raf Sikiliza, Al-A'raf Tafsiri, Al-A'raf mp3, Al-A'raf pdf. Aya 108–112. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema