Al-A'raf · 111/206
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-A'raf
قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَأَرْسِلْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ ۝١١١
Qaalooo arjih wa akhaahu wa arsil filmadaaa`ini haashireen
📖 Kwa Kiswahili
Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 109-113 — Al-A'raf

109قَالَ الْمَلَأُ مِن قَوْمِ فِرْعَوْنَ إِنَّ هَٰذَا لَسَاحِرٌ عَلِيمٌ
Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi.
110يُرِيدُ أَن يُخْرِجَكُم مِّنْ أَرْضِكُمْ ۖ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ
Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani?
111قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَأَرْسِلْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
112يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَاحِرٍ عَلِيمٍ
Wakuletee kila mchawi mjuzi.
113وَجَاءَ السَّحَرَةُ فِرْعَوْنَ قَالُوا إِنَّ لَنَا لَأَجْرًا إِن كُنَّا نَحْنُ الْغَالِبِينَ
Wakaja wachawi kwa Firauni, wakasema: Hakika tutapata ujira ikiwa tutashinda.
Al-A'rafFaharasa ya Qurani
206Aya
MakkaRevelation
111Aya

Tafsiri — Al-A'raf 111

Sura Al-A'raf Aya 111 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,

Sura Aya 111/206 — Al-A'raf الأعراف (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-A'raf Sikiliza, Al-A'raf Tafsiri, Al-A'raf mp3, Al-A'raf pdf. Aya 109–113. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema