Al-Qiyama · 38/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
ثُمَّ كَانَ عَلَقَةً فَخَلَقَ فَسَوَّىٰ ۝٣٨
Summa kaana `alaqata fakhalaq fasawwaa
📖 Kwa Kiswahili
Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 36-40 — Al-Qiyama

36أَيَحْسَبُ الْإِنسَانُ أَن يُتْرَكَ سُدًى
Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?
37أَلَمْ يَكُ نُطْفَةً مِّن مَّنِيٍّ يُمْنَىٰ
Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
38ثُمَّ كَانَ عَلَقَةً فَخَلَقَ فَسَوَّىٰ
Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
39فَجَعَلَ مِنْهُ الزَّوْجَيْنِ الذَّكَرَ وَالْأُنثَىٰ
Kisha akamfanya namna mbili, mwanamume na mwanamke.
40أَلَيْسَ ذَٰلِكَ بِقَادِرٍ عَلَىٰ أَن يُحْيِيَ الْمَوْتَىٰ
Je! Huyo hakuwa ni Muweza wa kufufua wafu?
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
38Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 38

Sura Al-Qiyama Aya 38 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na…

Sura Aya 38/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 36–40. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema