Al-Inshiqaq · 17/25
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Inshiqaq
وَاللَّيْلِ وَمَا وَسَقَ ۝١٧
Wallaili wa maa wasaq
📖 Kwa Kiswahili
Na kwa usiku na unavyo vikusanya,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 15-19 — Al-Inshiqaq

15بَلَىٰ إِنَّ رَبَّهُ كَانَ بِهِ بَصِيرًا
Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!
16فَلَا أُقْسِمُ بِالشَّفَقِ
Basi ninaapa kwa wekundu wa jua linapo kuchwa,
17وَاللَّيْلِ وَمَا وَسَقَ
Na kwa usiku na unavyo vikusanya,
18وَالْقَمَرِ إِذَا اتَّسَقَ
Na kwa mwezi unapo pevuka,
19لَتَرْكَبُنَّ طَبَقًا عَن طَبَقٍ
Lazima mtapanda t'abaka kwa t'abaka!
Al-InshiqaqFaharasa ya Qurani
25Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Inshiqaq 17

Sura Al-Inshiqaq Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwa usiku na unavyo vikusanya,

Sura Aya 17/25 — Al-Inshiqaq الإنشقاق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Inshiqaq Sikiliza, Al-Inshiqaq Tafsiri, Al-Inshiqaq mp3, Al-Inshiqaq pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema