Ash-Shams · 11/15
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shams
كَذَّبَتْ ثَمُودُ بِطَغْوَاهَا ۝١١
Kazzabat Samoodu bi taghwaahaaa
📖 Kwa Kiswahili
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 9-13 — Ash-Shams

9قَدْ أَفْلَحَ مَن زَكَّاهَا
Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
10وَقَدْ خَابَ مَن دَسَّاهَا
Na hakika amekhasiri aliye iviza.
11كَذَّبَتْ ثَمُودُ بِطَغْوَاهَا
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
12إِذِ انبَعَثَ أَشْقَاهَا
Alipo simama mwovu wao mkubwa,
13فَقَالَ لَهُمْ رَسُولُ اللَّهِ نَاقَةَ اللَّهِ وَسُقْيَاهَا
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
Ash-ShamsFaharasa ya Qurani
15Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Ash-Shams 11

Sura Ash-Shams Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,

Sura Aya 11/15 — Ash-Shams الشمس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shams Sikiliza, Ash-Shams Tafsiri, Ash-Shams mp3, Ash-Shams pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema