Al-Layl · 17/21
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Layl
وَسَيُجَنَّبُهَا الْأَتْقَى ۝١٧
Wa sa yujannnabuhal atqaa
📖 Kwa Kiswahili
Na mchamngu ataepushwa nao,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 15-19 — Al-Layl

15لَا يَصْلَاهَا إِلَّا الْأَشْقَى
Hatauingia ila mwovu kabisa!
16الَّذِي كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
17وَسَيُجَنَّبُهَا الْأَتْقَى
Na mchamngu ataepushwa nao,
18الَّذِي يُؤْتِي مَالَهُ يَتَزَكَّىٰ
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
19وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُ مِن نِّعْمَةٍ تُجْزَىٰ
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
Al-LaylFaharasa ya Qurani
21Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Layl 17

Sura Al-Layl Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mchamngu ataepushwa nao,

Sura Aya 17/21 — Al-Layl الليل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Layl Sikiliza, Al-Layl Tafsiri, Al-Layl mp3, Al-Layl pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema